Red Cross yaadhimisha miaka 62 ikizikumbuka ajali za Mv Bukoba, treni Dodoma Red Cross yaadhimisha miaka 62 ikizikumbuka ajali za Mv Bukoba, treni Dodoma
PRIME Kilichofanya John Malecela aheshimike madarakani, baada ya kung'atuka Viongozi wasimulia mambo ya kusisimua kama sehemu ya maisha yake
Dk Jafo akerwa na uchimbaji wa kokoto Dodoma, atoa angalizo Afanya ziara ya kushtukiza kwenye machimbo ya kokoto, aeleza kutoridhishwa na kinachofanyika, atoa wiki mbili apewe ripoti.
Watoto wenye uzito kupindukia kutibiwa bure Mloganzila Hatua hiyo imekuja siku 18 tangu Mwananchi liliporipoti kuhusu uwepo wa watoto hao wanaoishi katika Mtaa wa Makole, Kata ya Makole jijini Dodoma.
Maandamano ya Chadema yaibua gumzo bungeni Wabunge wamedai chama hicho cha upinzani kinashindwa kutambua jitihada zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kujenga mazingira mazuri ya kisiasa hapa nchini.
Mapendekezo ya CCM miswada ya sheria za uchaguzi haya hapa Utaratibu uliotumika katika kukusanya maoni kuhusu miswada ya uchaguzi ni sahihi na utasaidia kupatikana kwa sheria zisizopingana na Katiba.
Hii hapa mikakati kuongeza tija uzalishaji wa tumbaku Bodi ya Tumbaku Tanzania (TTB) imesema ili kufikia utekelezaji wa ajenda 10/30 inayolenga kukuza sekta ya kilimo kwa asilimia 10 hadi kufikia mwaka 2030 ni lazima wabadili fikra za wafanyakazi wao.
Mkutano wa Bunge waahirishwa Mkutano wa 12 wa Bunge la 12 umeahirishwa leo Ijumaa, Septemba 8, 2023 ambapo katika mkutano huu jumla ya maswali 140 ya msingi, na maswali ya nyongeza 504 yaliulizwa na kujibiwa na Serikali huku...
PRIME Dereva Udom mbaroni kwa madai ya mama, mwanaye kumwagiwa tindikali Dereva wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Lusajo Makiwelu anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kummwagia kemikali mtalaka wake, Witness Nguvalwa (31) na mtoto wake mwenye umri wa miezi sita.
Ashikiliwa akidaiwa kumwagia kemikali ofisa mtendaji Dereva wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Lusajo Makiwelu anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwamwagia kemikali watu wawili akiwemo mtalaka wake, Witness Nguvalwa (31) na mtoto wake mwenye umri...